jamani wanahabari mkitaka kutuwekea kipindi au majadiliano muweke yaliyojitosheleza sasan kichwa cha habari cha huyo jokate kufunguka hajafunguka chochote labda kucheka cheka tu kama kahaba na hakuna utaratimu wa kihabari mliotumia kumuhoji, hii ni kutupotezea muda kwa kweli kwa sababu tunakuwa na shauku ya kufahamu storyline mwisho wake hakuna kitu. mwambieni kuwa mwandishi ana haki ya kimataifa ya kuhoji na kupatiwa ukweli kwa sababu umma unawategemea ninyi kupata ukweli
1 comments:
jamani wanahabari mkitaka kutuwekea kipindi au majadiliano muweke yaliyojitosheleza sasan kichwa cha habari cha huyo jokate kufunguka hajafunguka chochote labda kucheka cheka tu kama kahaba na hakuna utaratimu wa kihabari mliotumia kumuhoji, hii ni kutupotezea muda kwa kweli kwa sababu tunakuwa na shauku ya kufahamu storyline mwisho wake hakuna kitu. mwambieni kuwa mwandishi ana haki ya kimataifa ya kuhoji na kupatiwa ukweli kwa sababu umma unawategemea ninyi kupata ukweli
Post a Comment